Unaangalia maandishi ya redio kuhusu Kilimo

Mazao yenye ubora wa hali ya juu yanainua kipato na kupunguza umaskini

Juni 20, 2012

Ingiza kiashirio cha kipindi na punguza sauti, mruhusu mtangazaji aanze kipindi Mtangazaji: Hujambo? Karibu katika kipindi cha leo kisemacho Sauti ya mkulima, kinacholetwa kwako kwa ridhaa ya Umoja wa wakulima nchini Zambia. Mimi ni mtangazaji wako, Alice Lungu Banda. Tuwe sote. Ondoa taratibu kiashirio cha kipindi Mtangazaji: Wakulima nchini Zambia wamefanikiwa kulima kilimo mchanganyiko na…

Kupanda Viazi kunaongeza kipato kwa wakulima wa Kabale, nchini Uganda

Juni 20, 2012

Musiki kiashiria kwa sekunde moja, kasha shusha sauti ya muziki polepole. Jingo za kipindi (jogoo anawika). MTANGAZAJI: Kwa mara nyingine ni muda wa “Sauti ya Mkulima.” Kama umekaa baa unasubiria kugongwa kinywaji na rafiki yako, basi hauko mahali sahihi! Kama uko tayari kumeza haraka haraka gulp… gooooo na kurudi kazini!! Leo, tutaongea na mkulima wa…

Kausha mbegu za mpunga bila kuziweka ardhini ili upate mazao yenye ubora

Juni 4, 2012

Piga kiashirio cha kipindi na kiashirikio cha kituo chako cha redio Mtangazaji:  Karibu katika kipindi chetu cha leo. Wote tunafahamu kuwa majira ya mvua yanapokuja, mavuno nayo yako njiani yanayoambatana na ukaushaji wa mbegu za mpunga. Ni vigumu kukausha kitu chochote wakati wa masika, hususan mbegu. Ndio maana kipindi chetu kimelenga katika mada ya njia…

Uvumbuzi wa Neddy: Mfanyakazi wa afya ya wanyama asaidia kijiji kudhibiti ugonjwa wa Kideri

Mei 23, 2012

MSIMULIZI: Katika nchi nyingi za Afrika, ikiwa ni pamoja na Malawi, wakulima wengi wana angalau kuku mmoja. Kuku hawa ni mifugo ya ndani ambayo huachiliwa kula kwa uhuru. Kwa maneno mengine, ni kuku wanaojilisha. Kuongezeka kwa ugonjwa wa Kideri kunaweza kuua kuku wote wa kijiji. Kideri inaweza kuzuiwa na chanjo. Kwa nini wakulima wengi hawanunui…

Mkulima mbunifu anatumia magunzi ya mahindi yaliyosagwa kuhifadhi mahindi

Aprili 26, 2012

Waigizaji Mwenyeji Mr. Bio Doko, mkulima Mpangilio: Gbégourou, mojawapo ya vijiji vya soko la Parakou, katika jiji kubwa nchini Benin. Kiashiria cha kufungua na kutambulisha kipindi, halafu unashusha sauti chini MWENYEJI: Halo, mpendwa msikilizaji! Karibu katika kipindi chako. Mazungumzo ya leo yatahusu njia ya kukinga mahindi yako na wadudu wakati wa kuhifadhi. Wakulima huhifadhi mahindi…

Maranda ya mbao yaongeza maisha ya ghala kwa viazi batata

Aprili 26, 2012

Wimbo wa Kitambulisho: Uendelee kwa hadi nukta tano kisha ufifie chini ya sauti ya mtangazaji. Mtangazaji: Viazi batata ni zao la chakula muhimu nchini Kenya.  Huwa vinakuzwa katika nyanda za juu za mikoa ya Kati, Bonde la Ufa na Magharibi.  Hata hivyo, usalishaji na uuzaji wa viazi hutatizwa na hali duni ya uhifadhi ambayo hupunguza…

Wakulima Wanaotumia Njia bora za Kupumzisha Mashamba Lazima Waongeze Fosforasi katika Udongo

Machi 1, 2005

Wahusika Katika kipindi hiki, wenyeji ni Onyango na Rose. Tafadhali tumia majina ambayo wasikilizaji wako watayahusisha na kuyatambua. Rose ana uelewa sana kuhusiana na mada ya kilimo na kilimo mseto (agroforestry). Onyango pia ana hamu sana na anauliza maswali mengi mazuri, lakini wakati mwingine anaonekana kukosa uvumilivu/subira. Wahusika hawa wawili wanatumia njia ya kufurahisha kupeana…

Ondoa magugu kwa uangalifu shambani kwako

Septemba 1, 2004

Washiriki: Mtangazaji wakulima wawili wanawake Mtangazaji: Wakulima wengi wanaonisikiliza leo, hasa wanawake, bila shaka watafurahia mjadala wetu wa leo wa jinsi ya kudhibiti mbigili shambani. Mbigili ni magugu yanayosababisha uharibifu mkubwa kwa mazao hasa mahindi, mtama, ufuta na hata mpunga. Magugu haya yana tabia ya kunyonya maji ardhi pamoja na virutubisho vingine na kuyaacha mazao…

Epuka hasara baada ya mavuno, kwa kutunza mazao yako vizuri: Kidokezo cha nane cha redio

Machi 1, 2003

Kidokezo #1: Kuvuna maembe kwa uangalifu (Zingatia: Chagua tunda linalofaa katika eneo lako.) Mazao yanapojeruhiwa wakati wa kuvuna au mara baada ya mavuno, yanaharibika kwa haraka. Unaweza kushindwa kuuza mazao yaliyoharibika au kujeruhiwa na wakati mwingine ukalazimika kuyauza kwa bei ndogo. Kwa upande mwingine, kama utafanikiwa kupunguza hasara, unaweza pia kuongeza kipato chako. Ifuatayo ni…

Mwongozo kwa watangazaji kwa magonjwa ya mifugo

Aprili 1, 2002

Kuna aina nyingi sana za magonjwa ya mifugo ambapo kwa mtu asiye mtaalam wa mifugo ni vigumu kufahamu. Makala hii hutoa mambo machache ya msingi mnamo kumi na mbili kuhusu magonjwa muhimu zaidi ya mifugo na yanayoenea. Maelezo haya ni ya msingi, lakini yanaweza kukusaidia kuamua magonjwa ya kuzingatia wakati wa kubuni kipindi cha redio….