Unaangalia maandishi ya redio kuhusu Afya

Maswali ya mahojiano yaliyopendekezwa: Habari za Uwongo, Habari potofu na, COVID-19

Juni 11, 2022

1. Tafadhali eleza upotoshaji ni nini. a. Maswali ya kufuatilia: a.i. Wapi ambapo mtu anaweza akaona habari za kupotosha? Wanaweza wakaziona, kwa mfano kwenye mtandao wa intaneti, katika mitandao ya kijamii au WhatsApp? Wapi pengine wanaweza wakaona au kuzisikia? a.ii. Habari za upotoshaji zinaonekanaje au zinasikikaje? Kwa mfano, zinakuja katika mfumo wa picha, video, makala…

Maswali ya Mahojiano yaliyopendekezwa: Taarifa za chanjo ya COVID-19 na hatua za kuzuia Maambukizi

Juni 11, 2022

1. Kwa nini chanjo zilitengenezwa kuzuia COVID-19 badala ya tiba za kawaida kama vile dawa za kumeza? a. Maswali ya kufuatilia: a.i. Je, chanjo ni rahisi zaidi na haraka kutengeneza kuliko dawa? a.i.1. Ni muda gani inachukua kutengeneza chanjo ya COVID-19? a.i.1.a.Ni kwa namna gani chanjo ya COVID-19 ilitengenezwa kwa haraka? a.ii. Je, kwa sasa…

Matangazo kuhusu chanjo za COVID-19, uhimizaji wa chanjo, hatua za afya ya umma na usawa wa kijinsia na ushirikishwaji

Machi 21, 2022

  Tangazo 1: Vaa barakoa na uvae ipasavyo MSIMULIZI: Janga la COVID-19 limekuwa la kuchosha-na bado halijaisha. Lakini usikate tamaa! Tunahitaji kuendelea kuwa imara kwa kila mmoja wetu, na kulinda marafiki zetu, familia na jamii. Kwa hivyo hata kama umechanjwa kikamilifu, endelea kuvaa barakoa inayofunika pua na mdomo wako. Ili barakoa ikulinde, lazima ikae vizuri…

Majibu kwa Maswali yako yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu chanjo za COVID-19

Oktoba 20, 2021

  Jedwali la Yaliyomo   Taarifa za Msingi Ni chanjo gani za COVID-19 zinapatikana barani Afrika? Je, ni faida gani za kupata chanjo dhidi ya COVID-19? Je, chanjo za COVID-19 zinafanyaje kazi? 4 Ni kwa namna gani chanjo za COVID-19 zilitengenezwa kwa haraka namna? 4 Je, ni lini ninapaswa kupata chanjo dhidi ya COVID-19? 5…

COVID-19 na wakulima: Kukabiliana na janga huko Rwanda vijijini

Oktoba 27, 2020

Save and edit this resource as a Word document Utangulizi Rwanda ni moja ya nchi ndogo kabisa barani Afrika ikiwa na zaidi ya kilomita za mraba 26,000. Kwa kulinganisha na nnchi ya jirani yake, Tanzania, ni kubwa mara 35. Rwanda inapakana na Uganda, Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, na Tanzania. Nchi ina vilima na…

Matangazo ya Redio kuhusu COVID-19 – sehemu ya pili

Oktoba 1, 2020

Tangazo 1: SFX: (MILIO YA NDEGE, CHAKARISHA MAJANI MAKAVU) MKULIMA 1: (AKIWA NA WASIWASI) Mavuno ya mahindi ya mwaka huu yatakuwa makubwa. Tutasimamia vipi? MKULIMA 2: Tutahitaji kuajiri wafanyikazi wengine wa ziada. MKULIMA 1: Uko sawa. Lakini tukiwa na watu wengi, nina wasiwasi juu ya kueneza virusi vya corona. MKULIMA 2: Ni kweli – virusi…

Matangazo ya redio kuhusu COVID-19 – Sehemu ya kwanza

Mei 6, 2020

Tangazo 1 SFX: MAKELELE YA KUKU MSIMULIAJI: Kwenu wakulima! Kuna uvumi wa uwongo unaozunguka kwamba kuku na wanyama wengine wanaweza kuambukiza wanadamu ugonjwa wa virusi vya corona (COVID-19). Hii sio kweli! Hakuna ushahidi wowote kwamba mnyama wa aina yoyote anaweza kuambukiza binadamu ugonjwa wa virusi vya corona (COVID-19). Maambukizi ya binadamu husababishwa na mgusano kati…

Majibu ya maswali yako yanayoulizwa mara kwa mara kuhusu Ugonjwa wa Corona (COVID-19)

Mei 6, 2020

Katika wiki chache zilizopita, washirika wetu wa utangazaji walitutumia maswali yao ya kushinikiza kuhusu ugonjwa wa virusi vya corona (COVID-19). Ili kuwajibu, tuliunda maswali haya yanayoulizwa mara nyingi (FAQs), tukitumia mamlaka yenye sifa na vyanzo vya habari vilivyothibitishwa kama vile Shirika la Afya Duniani. Hapa kuna majibu ya baadhi ya maswali yako yanayoulizwa mara nyingi…

Mahojiano na wataalamu: Utendaji mzuri kwa waandishi wa habari na wataalamu

Mei 30, 2017

Pakua na hariri taarifa hii kwa matumizi yako Utangulizi   Kufanya mahojiano na wataalamu kunaongeza mengi katika kipindi chako cha kilimo. Inawapatia wasikilizaji taarifa za kuaminika. Usisahau pia baadhi ya wakulima ni Wataalamu pia. Tafadhalii elewa kwamba Muongozo huu ni kwa ajili ya waandishi na wataalamu, kwa sababu ni muhimu kwa waandishi na wataalamu kujua….

Maelezo mahususi: Batobato ugonjwa wa mihogo

Aprili 13, 2017

Kwanini mada hii ni ya muhimu kwa wasikilizaji? Batobato (CMVD) ni ugonjwa mkali na uliosambaa zaidi katika nchi za Africa kusini mwa Jagwa la Sahara. Mihogo iliyoathiriwa na Batobato inazalisha mihogo kidogo au haizai kabisa kulingana na ukithiri wa ugonjwa na umri wa mmea kipindi ugonjwa umeshambulia. CMVD inapelekea upotevu wa mazao kufikia asilimia 90…