Unaangalia maandishi ya redio kuhusu Kilimo

Taarifa za kina: Uzalishaji wa Mahindi

Septemba 26, 2016

Pakua na hariri taarifa hii kwa matumizi yako Utangulizi: Mahindi ni zao la nafaka muhimu sana katika nchi za kusini mwa Bara la Afrika, na inaweza kuzalishwa na wakulima katika maeneo mbali mbali bila kumwagiliwa. Leo hii wakulima wanazalisha mahindi zaidi kuliko zao lingine Duniani na mahitaji ya zao la mahindi Duniani inategemewa kuongezeka zaidi…

Mkulima anatumia ushauri wa Mtaalam wa mifugo ili kuokoa kuku kutokana na ugonjwa wa kideri

Septemba 22, 2016

WAHUSIKA: MARIAM KONÉ: Mwandisi wa habari katika gazeti la Mtangazaji SOUMAÏLA DIAKITÉ: Mfugaji wa kuku, kijiji cha Flaboula MOUSSA KONÉ: Mtaalam kiufundi wa afya ya mifugo MARIAM KONÉ: Mpenzi msikilizaji, habari za wakati huu. Mara nyingine tena, asante kwa kuchagua Radio La voix des paysans [Maelezo ya mhariri: Radio Sauti ya Mkulima.] Karibu katika Maendeleo…

Mwanamke Mkenya aliyejikita kwenye kilimo hifadhi na kuboresha maisha yake

Machi 24, 2015

WAHUSIKA Mtangazaji Jenipher Awino, Mkulima KIASHIRIA MTANGAZAJI:Salam, msikilizaji, karibu kwenye kipindi. Leo tutasikia hadithi ya mwanamke mkulima aliyebadilisha maisha yake kwa kujikita katika kilimo hifadhi. Mwanamke huyu anaitwa Jenipher Awino, na anaishi katika kijiji cha Bar Kite magharibi mwa Kenya. Bi Awino amekua mjane miaka kumi na tano iliyopita na ni kama alikata tamaa katika…

Wanasayansi wanaboresha vichanja vya asili vya mahindi

Januari 27, 2015

George Atkins, mkulima kwa miaka mingi, amesafiri duniani kwa Massey-Ferguson, Chuo cha Guelph na Shirika la maendeleo la kimataifa la Kanada, akitafuta namna ya kuwasaidia wakulima kuongeza mavuno yao. Barani Afrika, alikutana na mwanasayansi aliyekuwa akifanya utafiti jinsi ya kubadilisha vichanja vya kienyeji vya mahindi ili mahindi yakauke haraka Zaidi, vizuri, hasahasa katika maeneo yenye…

Ni muhimu kuuza kwa pamoja: Faida za soko la pamoja

Septemba 23, 2014

KIASHIRIA KINASIKIKA NA KUPOTEA MTANGAZAJI: Habari, na karibu katika kipindi hiki maalum kuhusiana na zao la muhogo. Je wajua? Kipindi cha hivi karibuni muhogo umekua chakula cha kawaida sana mitaani? Yeyote anaweza kununua kipande cha mjhogo mbichi au uliokaangwa kwa kiwango kidogo cha kama shilingi mia za kitanzania, unaweza kuipata kandokando ya barabara au katika…

Mboga za majani za asili za kiafrika kutumiwa tena mezani.

Desemba 1, 2012

SFX Melodi inapanda kisha inashuka MTANGAZAJI:              Jaribu kukisia. Zina virutubisho, Zinakua vizuri katika mazingira yenye ukame, zinaweza kuwa chanzo cha kipato, na zinatunza mazingira … kama ukisema mboga za majani za asili za kiafrika, uko sahihi na ndicho tunaenda kujifunza leo. SFXSauti ya melodi inapanda na kushuka MTANGAZAJI:               Habari na karibuni katika Farmer to…

Usindikaji wa nafaka kuwa pombe ya kienyeji: shughuli ya uongezaji kipato kwa wanawake

Desemba 1, 2012

MTANGAZAJI:               Bernadette Zongo ni mwanamke mwenye umri wa miaka hamsini. Ameolewa na mwalimu, wana mabinti wawili na kijana mmoja. Mke wa zongo anaishi Ziniaré, mji ullilopo kilomita thelathini na tano kutoka mji mkuu wa Burkina Faso, Ouagadougou. Mke wa Zongo hakutegemea kila kitu kutoka kwa mumewe. Alitaka kufanya shughuli yoyote ambayo ingeweza kumuingizia…

Kilimo cha aina mpya ya mpunga kwa Afrika: Kampeni Shirikishi ya redio huwasaidia wakulima kuboresha maisha yao

Desemba 1, 2012

Wahusika: Alhassan Baaba, afisa wa uenezi wa kilimo, katika manispaa ya Ho. Frank Dzameku, Mtungaji na mratibu wa vipindi vya mkulima katika redio ya Nkomo FM. Halimatu, mkulima wa kike. Efo Osei, mkulima wa kiume. Asigri, mkulima wa kike. Banka, mwanamasoko, mfanyabiashara wa mpunga. Agyyeiwaa mkulima wa kike. Akua, binti wa Asigri. MTANGAZAJI:               Habari…

Kuongeza usalama wa chakula kwa Waganda: Kampeni Shirikishi ya Redio ya Sauti yaTeso juu ya muhogo wa Akena

Desemba 1, 2012

Mtangazaji 1:            Habari zenu wasikilizaji wetu wote. Jina langu ni ___. Mtangazaji 2:           Nami naitwa ____. Leo tutakueleza juu ya kampeni ya redio iliyorushwa hewani miaka michache iliyopita na Sauti ya Teso huko mashariki mwa Uganda. Kampeni ilitambulisha kwa wakulima aina ya muhogo unaostahimili magonjwa inayoitwa Akena. Iliwapatia habari nyingi za kutosha juu ya…

Utangulizi katika mikufu ya thamani

Desemba 1, 2012

Utangulizi. Mkufu wa thamani sio kitu unachoweza kukiona. Bali, mkufu wa thamani ni njia nzuri ya kuelewa namna ulimwengu wa uzalishaji, ununuaji na uuzaji vitu unavyofanya kazi. Sisi sote ni sehemu ya mkufu wa thamani kwa namna moja ama nyingine kama wazalishaji, walaji wa bidhaa na huduma, wasindikaji, wauzaji wa rejareja, wafadhili, nk. Kama walaji…