Mahojianos

Wote
  • Wote
  • Afya
  • Afya ya udongo
  • Kilimo
  • Lishe
  • Masuala ya jamii
  • Mazingira na Mabadiliko ya Tabianchi
  • Mifugo na ufugaji nyuki
  • Miti na kilimo mseto
  • Shughuli za baada ya mavuno
  • Taarifa za masoko na soko
  • Usawa wa kijinsia
  • Uzalishaji wa mazao

Kuchagua mbegu na kuzihifadhi kwa msimu ujao kwa kuzingatia kanuni za kilimo

SFX: SAUTI YA JUU HALAFU YA CHINI MTANGAZAJI: Mabibi na mabwana, karibuni katika kipindi cha leo, ambapo tutakwenda kujifunza kuhusu kuchagua na kuhifadhi mbegu za msimu ujao kwa mbinu za kilimo. Ili kulizungumzia hili, nilimtembelea Bwana Emmanuel Kakore, mkulima anayeishi kijiji cha Kisiwani, Wilaya ya Same katika Mkoa wa Kilimanjaro, kaskazini mwa Tanzania. Emmanuel Kakore…

Kutatua changamoto za mmomonyoko na uharibifu wa udongo huko Karatu, Tanzania

MTANGAZAJI: Habari za asubuhi, wasikilizaji. Katika programu ya leo, tutajadili jinsi mmomonyoko na uharibifu wa udongo umeharibu ardhi ya kilimo na kuathiri uzalishaji wa kilimo kwa wakulima wadogo katika wilaya ya Karatu nchini Tanzania. Wilaya ya Karatu iko katika mkoa wa Arusha, kaskazini mwa Tanzania. Pia tutajadili hatua zilizochukuliwa ili kukabiliana na matatizo hayo na…

Athari za COVID-19 juu ya upatikanaji wa mboga zilizotolewa shambani na jinsi wakulima na wengine wanavyokabiliana na athari hizi

SFX: SIMU INAITA KAMBOLE: Halo, mimi ni Kambole Kanyanta katika Ofisi ya Kilimo ya Wilaya. Naweza kujua ni nani anayepiga simu? FILIUS: Jina langu ni Filius Chalo Jere, mtayarishaji wa kipindi cha redio cha Kilimo ni Biashara kutoka Breeze FM. Naweza kufanya mahojiano na wewe kwa njia ya simu? KAMBOLE: Vipi kuhusu? FILIUS: Kuhusu athari…

Wakulima hutumia njia za asili na viatilifu katika kuthibiti wadudu wa mahindi magharibi mwa Tanzania

MTANGAZAJI: Karibu katika kipindi chako cha leo cha wakulima. Leo, tutakua tukizungumza na wakulima kutoka katika wilaya ya Karagwe, mkoa wa Kagera Magharibi mwa Tanzania. Tutazungumza na wakulima wa mahindi kuhusiana na wadudu wanaoharibu ama kushambulia mahindi yao na hatua mbali mbali ambazo walizichukua katika kukabiliana na wadudu hao. (KIMYA) Ni takribani kilomita 30 kutoka…

Wanawake wakulima watumia mbinu za asili kupambana na wadudu na magonjwa ya maharagwe

PANDISHA MUZIKI WA UTANGULIZI KISHA PUNGUZA USIKIKE CHINI YA MANENO BW. ENOS: Mabibi na Mabwana, karibu katika kipindi chetu cha leo ambapo tutajifunza jinsi wakulima wanawake katika Mkoa wa Kigoma Magharibi mwa nchi ya Tanzania wanavyopambana na matatizo ya wadudu na magonjwa katika maharagwe kwa kutumia mbinu za asili. Ili kuzungumza juu ya hilo, niliwatembelea…

Kudhibiti magonjwa na wadudu wa maharage

MTANGAZAJI: Salaam, wasikilizaji na karibu katika kipindi. Jina langu ni ____. Leo tutazungumzia kuhusu kuthibiti wadudu na magonjwa yanayoshambulia maharage. Hakuna shaka kwamba maharage ni moja ya chakula kikuu Tanzania. Maeneo yanayolimwa maharage na mahindi ni kama asilimia 11 ya ardhi yote inayolimwa. Baadhi ya familia hula maharage kama chakula cha mchana ama cha usiku…

Wakulima nchini Kenya wahamia kilimo cha Maharage kutoka kilimo cha Ngano: Aina Mpya ya maharage inamavuno mazuri

  SAUTI KIASHIRIA IKIPIGWA KWA SUTI YA CHINI MTANGAZAJI: Habari Karibu katika Kipindi cha kutoka kwa mkulima kwa mkulima. Katika kipindi chetu leo, tunaongelea juu ya zao kuu barani Afrika—maharage. Tunakuwa tukisikia sauti ya Dkt. Davis Karanja, mratibu wa mradi wa mazo ya jamii ya mikunde kutoka serikali ya Kenya kitengo cha Kilimo na Mifugo.…

Mkulima anatumia ushauri wa Mtaalam wa mifugo ili kuokoa kuku kutokana na ugonjwa wa kideri

WAHUSIKA: MARIAM KONÉ: Mwandisi wa habari katika gazeti la Mtangazaji SOUMAÏLA DIAKITÉ: Mfugaji wa kuku, kijiji cha Flaboula MOUSSA KONÉ: Mtaalam kiufundi wa afya ya mifugo MARIAM KONÉ: Mpenzi msikilizaji, habari za wakati huu. Mara nyingine tena, asante kwa kuchagua Radio La voix des paysans [Maelezo ya mhariri: Radio Sauti ya Mkulima.] Karibu katika Maendeleo…

Mwanamke Mkenya aliyejikita kwenye kilimo hifadhi na kuboresha maisha yake

WAHUSIKA Mtangazaji Jenipher Awino, Mkulima KIASHIRIA MTANGAZAJI:Salam, msikilizaji, karibu kwenye kipindi. Leo tutasikia hadithi ya mwanamke mkulima aliyebadilisha maisha yake kwa kujikita katika kilimo hifadhi. Mwanamke huyu anaitwa Jenipher Awino, na anaishi katika kijiji cha Bar Kite magharibi mwa Kenya. Bi Awino amekua mjane miaka kumi na tano iliyopita na ni kama alikata tamaa katika…

Wanasayansi wanaboresha vichanja vya asili vya mahindi

George Atkins, mkulima kwa miaka mingi, amesafiri duniani kwa Massey-Ferguson, Chuo cha Guelph na Shirika la maendeleo la kimataifa la Kanada, akitafuta namna ya kuwasaidia wakulima kuongeza mavuno yao. Barani Afrika, alikutana na mwanasayansi aliyekuwa akifanya utafiti jinsi ya kubadilisha vichanja vya kienyeji vya mahindi ili mahindi yakauke haraka Zaidi, vizuri, hasahasa katika maeneo yenye…